-->

BREAKING: Rais Magufuli amtumbua Balozi wa Tanzania nchini Canada

GUSA HAPA CHINI KUPLAY VIDEO

BREAKING: Rais Magufuli amtumbua Balozi wa Tanzania nchini Canada

Rais Magufuli leo November 8, 2018 ametengua uteuzi na kumrejesha nchini aliekuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada Alphayo Japani Kidata.

Uamuzi huu umeanza tarehe 5 November 2018 pia Kidata ameondolewa hadhi yake ya ubalozi.
Share :
Facebook Twitter Google+

Related Posts :

 
Back To Top